STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 16 Mei 2015

BALOTELLI TENA, APEWA ADHABU YA SIKU 28 KUTOENDESHA GARI

Mshambuliaji asiyeisha vituko wa Liverpool, Mario Balotelli ametozwa faini ya pauni 800 pamoja na kufungiwa kuendesha gari kwa siku 28.

Balotelli amekutana na adhabu hiyo baada ya kubainika aliendesha gari kwa kasi ya maili 109 kwa saa. Sheria ikafuata mkondo wake kupitia wahusika nchini England.


Muitaliano huyo alifanya hivyo na alipokamatwa akakubali kosa hilo wakati akiendesha gari lake la kifahari aina ya Ferrari lenye thamani ya pauni 240,000.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox