STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 28 Mei 2015

CHELSEA WATUA THAILAND KWA MAANDALIZI YA MSIMU UJAO

Chelsea wametua Bangkok Thailand na kupokelewa vizuri kinoma.

Mashabiki wa Chelsea wamejitokeza kwa wingi kuwapokea Chelsea huku wengine wakitaka kukumbatiwa na kiungo nyota, Eden Hazard.

Chelsea ambao ni mabingwa wa England, watacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Thailand All Stars, Jumamosi.

Baada ya mechi hiyo ya kirafiki, Chelsea watafungas afari hadi Australia ambako watacheza mechi nyingine ya kirafiki. Angalia walivyopolekewa.











Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox