STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 28 Mei 2015

SINA MPANGO WA KUSAJILI – MOURINHO.

MENEJA wa Chelsea, Jose Mourinho amesema kipaumbele kikubwa katika usajili wa majira ya kiangazi kitakuwa ni kuhakikisha anabaki na kikosi chake kilichoshinda taji la Ligi Kuu na kutosajili wachezaji wapya. 

Mourinho amekiri kuwa itakuwa vigumu kukiimarisha kikosi chake hicho zaidi ya kilivyo hivi sasa. 

Chelsea walitawadhwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu msimu wa 2014-2015 huku wakiwa wamebakisha michezo mitatu mkononi. 

Akihojiwa Mourinho anataka kutetea taji lake hilo msimu ujao lakini hadhani kama wachezaji wapya watamsaidia kufanikisha adhma yake hiyo kulinganisha na alionao sasa katika kikosi chake. 

Mabingwa hao hivi sasa wako Bangkok, Thailand kwa ajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya wachezaji nyota wa Ligi Kuu ya nchi hiyo utakaofanyika katika Uwanja wa Rajamangala, Jumamosi hii

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox