STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 20 Mei 2015

DE GEA ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA MAN UNITED

Pamoja na kuwepo kwa taarifa za kuondoka kwake kwenda Real Madrid, kipa David De Gea ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa Manchester United.


De Gea ameshinda tuzo hiyo kutokana na umahiri aliouonyesha msimu huu ambao timu yake imebakiza mechi moja.

Man United sasa angalau ina uhakika wa kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya na kipa huyo alikuwa mwokozi katika mechi nyingi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox