STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 20 Mei 2015

STERLING AZOMEWA NA MASHABIKI WA LIVERPOOL

Mshambuliaji wa Liverpool Raheem Sterling alizomewa na mashabiki wa klabu hiyo wakati wa utoaji wa tuzo mbalimbali za msimu kwa wachezaji wa timu hiyo.
Sababu kubwa ya kinda huyo raia wa Uingereza kuzomewa ni kutokana na msimamo wake wa kutaka kuondoka klabuni hapo mara baada ya kukataa ofa ya mpya ya mshahara wa paundi 100,000 kwa wiki hali ambayo imewaudhi sana mashabiki wa Liverpool.
Sterling alichaguliwa kuwa mchezaji bora kijana wa msimu huu kwa klabu ya Liverpool.
Raheem Sterling alichaguliwa kuwa mchezaji bora kijana wa msimu huu wa klabu ya Liverpool katika sherehe iliyofanyika huko Echo Arena jana Jumanne.






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox