STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 19 Mei 2015

MOURINHO ATUPIA LAWAMA UPINZANI HAFIFU, KUFUATIA KIPIGO WALICHOPATA DHIDI YA WEST BROM.

MENEJA wa Chelsea, Jose Mourinho amewalaumu mahasimu wao katika Ligi Kuu kuwa ndio chanzo cha wao kutandikwa mabao 3-0 na West Bromwich Albion jana. Akihojiwa mara baada ya mchezo huo ambao kiungo wake Cesc Fabregas alitolewa nje kea kadi nyekundu dakika ya 29, Mourinho amesisitiza wachezaji wake wamepoteza ari baada ya kufanikiwa kunyakuwa taji. Kocha huyo aliendelea kudai kuwa wapinzani wao wakubwa Manchester City, Manchester United, Arsenal na Liverpool waliwaacha kushinda taji hilo mapema, hivyo kuwafanya kupoteza ile ari waliyokuwa nayo kabla. Mourinho amesema jambo hutokea kea timu nyingi akiifananisha Bayern Munich ambao nao wamepoteza michezo yao mitatu ya Bundesliga baada ya kunyakuwa taji hilo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox