STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 16 Mei 2015

MSENEGAL SAIDO MANE AWEKA REKODI YA PEKEE TANGU LIGI KUU ENGLAND IANZISHWE HAIJATOKEA.....


SADIO Mane, raia wa Senegal amefunga magoli matatu peke yake 'Hat-tric' Southampton ikishinda 6-1 dhidi ya Aston Villa katika mechi ya mapema ya ligi kuu England leo.
Mane alifunga magoli hayo katika dakika ya 13' 14' na 16 hivyo kuvunja rekodi ya hat trick iliyokuwa inashikiliwa na  mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Robbie Fowler  aliyefunga mabao matatu ndani ya dakika tano.


Rekodi hiyo ya Fowler imeendelea kudumu kwa kipindi cha zaidi ya miaka nane (8).

Magoli mengine ya Southampton anayochezea mshambuliaji wa kimataifa wa Kenya, Victor Wanyama yamefungwa na Shane Long katika dakika ya 26' na 38' na Graziano Pelle alifunga goli la sita dakika ya 81.
Christiani Benteke aliifungia Aston Villa goli la kufutia machozi katika dakika ya 45'.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox