STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 25 Mei 2015

RODGERS YUPO TAYARI KUWAJIBISHWA LIVERPOOL

MENEJA wa Liverpool, Brendan Rodgers amekubali kuwa kibarua chake kiko mashakani baada ya mchezo wa mwisho wa nahodha Steven Gerrard kumalizika kwa kipigo kizito. 

Liverpool ilimuaga nahodha wake huyo kwa kukubali kipigo cha mabao 6-1 dhidi ya Stoke City na kuwafanya kumaliza nafasi ya sita katika msimamo wa Ligi Kuu. 

Akihojiwa Rodgers ambaye ameshinda michezo miwili katika ya tisa aliyoisimamia Liverpool hivi karibuni, amesema yuko tayari kuondoka kama wamiliki wakimtaka kufanya hivyo. 

Kocha huyo aliendelea kwa kuomba radhi kwa kipigo hicho kizito walichopata ingawa amedai bado kuna mengi mazuri anayoweza kuifanyia klabu hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox