STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 11 Juni 2015

CR7 AWAFUNIKA KINA BALE, ROONEY NA WENGINE KIBAO

Cristiano Ronaldo raia wa Ureno amekuwa mchezaji anayeuzika zaidi kwa wale wanaotokea barani Ulaya.


Ronaldo amewapiku wachezaji wengine nyota kama Arjen Robben, Wayne Rooney na Gareth Bale ambao pia wameingia 10 bora.

Matokeo kupitia mitandao kadhaa ya Ulaya inayohusika na mahesabu inaonyesha Ronaldo amepata kura kwa asilimia 77.46 kuonyesha yeye ni bora zaidi.

Pointi hizo zinamfanya awe bora zaidi ya wengine katika masuala ya malipo ya mshahara, wadhamini anaopata ana hata kujulikana kwa mashabiki wanaume na wanawake kwa dunia nzima.

Angalia takwimu katika picha mbalimbali, utaona kila mchezaji anaingiza kiasi gani, anajulikana vipi kwa wanaume na wanawake na zaidi.
HII NI YA ROBBEN WA BAYERN MUNICH

HAZARD

ROONEY..

PIRLO

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox