STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 12 Juni 2015

MESSI; SINA BIFU NA RONALDO.

MSHAMBULIAJI nyota wa Barcelona, Lionel Messi amesisitiza kuwa hakuna uhasimu wowote kati yake na nyota wa Real Madrid Cristiano Ronaldo. 

Wawili hao wanahesabiwa kama wachezaji bora kabisa duniani kwasasa wakiwa wameshinda tuzo saba za Ballon d’Or zilizopita kati yao. 

Ronaldo ambaye ndio alionyakuwa tuzo mbili za mwisho na kuwafanya wadau wa soka kudai kuwa mafanikio ya nyota huyo wa kimataifa wa Ureno ndio yaliyomuhamasisha Messi naye kucheza kea kiwango cha juu msimu huu. 

Hata hivyo, Messi amesisitiza kuwa haathiriki na kitu chochote ambacho Ronaldo anakifanya ndani na nje ya uwanja. 

Messi amesema hakuna wala hakujawahi tokea uhasimu wowote kati yao kwani jambo hilo limetengenezwa na vyombo vya habari.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox