STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 23 Agosti 2015

BAADA YA CHELSEA KUMSAJILI PEDRO, JUAN CUADRADO AENDA JUVENTUS KWA MKOPO, HUENDA AKAPISHANA NA POGBA



Juventus wamefikia makubaliano ya kumsajili kiungo aliyekosa namba darajani kwa mkopo wa muda mrefu
 Juan Cuadrado 

Cuadrado, aliyesajiliwa na Chelsea januari kwa ada ya paundi milioni 32 akitokea Fiorentina, ameshindwa kuendana na mfumo wa Jose Mourinho na pia safari yake hiyo imechangiwa kwa kiasi kikubwa baada ya Chelsea kumsajili Pedro kutoka Barcelona wiki hii.

The Blues agreed to make the winger available for loan earlier this week after Juve had expressed an interest in bringing him to Turin, and the Colombia international has now accepted the chance to join the Serie A champions for the 2015-16 campaign.



Cuadrado is now expected in Turin in the next four hours in order to complete medical tests before finalising his move.

Mchezaji huyo mwenye miaka 27 huenda akawa ametengeneza mazingira mazuri ya Chelsea ya kupata saini ya Paul Pogba ambaye anawindwa kwa udi na uvumba na timu hiyo ambayo imeanza vibaya kwenye msimu huu wa EPL.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox