STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 22 Agosti 2015

BAADA YA PEDRO, CHELSEA YACHUKUA KIFAA KINGINE CHA BRAZIL... NEW NEYMAR

Timu ya Chelsea imeendelea kujiimarisha baada ya kuanza msimu kwa kusuasua, kwa kufanikiwa kumnasa kinda wa kibrazil Kennedy mwenye miaka 19 kutoka Fluminense.

Kinda huyo mwenye kipaji cha hali ya juu tayari alishakuwa kwenye mipango ya Jose Mourinho na alijiunga na kikosi cha Chelsea kwenye ziara ya Pre-season kule Marekani na alionekana kwenye mchezo ambao Chelsea walipambana na Barcelona jijini Washington.

Kenedy atavaa jezi namba 16

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox