STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 22 Agosti 2015

BAO LA ROONEY LAKATALIWA TIZAMA ILIVYO KUWA...NIMEKUWEKEA NA MATOKEO YA MECHI ZA LEO EPL

Newcastle defender Steven Taylor appeals for offside as Rooney finds the back of the net in Saturday's early kick-off at Old TraffordTIMU ya Manchester United imepunguzwa kasi katika Ligi Kuu ya England baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana na Newcastle United Uwanja wa Old Trafford mchana wa leo.

Nahodha wa Manchester United, Wayne Rooney alimtungua kipa Tim Krul kuifungia timu yake kipindi cha kwanza, lakini akanyooshewa kibendera cha kuotea.

Replays showed that the decision was marginal as Rooney latched onto a perfectly-weighted through ball from Adnan JanuzajKikosi cha Manchester United kilikuwa; Romero, Darmian/Valencia dk77, Smalling, Blind, Shaw, Schneiderlin, Schweinsteiger/Carrick dk59, Mata, Januzaj/Hernandez dk67, Depay na Rooney.

Newcastle United: Krul, Coloccini, Mbemba, Taylor, Haidara, Anita, Colback, Obertan/Thauvin dk69, Wijnaldum, Perez/Tiote dk78 na Mitrovic/Cisse dk88.

Rooney, pictured wiping his face, is yet to score for United this season despite playing as a striker in each of their three matches

Rooney akiwa kajifunika uso baada ya mwamuzi kukataa goli lake

Newcastle goalkeeper Krul denies Manchester United substitute Javier Hernandez a goal towards the end of the game with a fine save

 Golikipa wa Newcastle  Krul denies  akiokoa mkwaju wa  Javier Hernandez.

United's executive vice chairman Ed Woodward is pictured in the stands after missing out on the signing of Pedro from Barcelona

 Ed Woodward alie rejea kutoka nchini Hispania baada ya kushindwa kumsajili Pedro alikuwa ni miongoni mwa viongozi wa Manchester United walio hudhuria mtanange

  MATOKEO MENGINE:

   C.PALACE 2-1 A.VILLA

  W.HAM 3-4 BOURNAMOUTH

  SUNDERLAND 1-1 SWANSEA

NORWICH CITY 1-1 STOKE CITY

LEICESTER CITY 1-1 TOTTENHAM

 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox