
Nahodha
wa Manchester United, Wayne Rooney alimtungua kipa Tim Krul kuifungia
timu yake kipindi cha kwanza, lakini akanyooshewa kibendera cha kuotea.

Newcastle
United: Krul, Coloccini, Mbemba, Taylor, Haidara, Anita, Colback,
Obertan/Thauvin dk69, Wijnaldum, Perez/Tiote dk78 na Mitrovic/Cisse
dk88.

Rooney akiwa kajifunika uso baada ya mwamuzi kukataa goli lake

Golikipa wa Newcastle Krul denies akiokoa mkwaju wa Javier Hernandez.

Ed Woodward alie rejea kutoka nchini Hispania baada ya kushindwa kumsajili Pedro alikuwa ni miongoni mwa viongozi wa Manchester United walio hudhuria mtanange
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni