STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 22 Agosti 2015

ARSENAL KUMTAMBULISHA KARIM BENZEMA KWENYE MCHEZO DHIDI YA LIVERPOOL........

Arsenal transfer news and rumours: 'Gunners charter private jet to fly Karim Benzema over to London for medical'








Arsenal kumtambulisha Karim Benzema kabla  ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya 
Liverpool utakaopigwa siku ya jumatatu katika uwanja wa Emirates.

 Taarifa hii ni  kwa mujibu  wa mwandishi wa gazeti la michezo nchini Italia la Gazzetta dello sport aitwaye Emanuele Giulianelli.

 Mwandishi huyo anaamini  Benzema atafanyiwa vipimo vya afya  mapema siku ya jumatatu kabla ya kutambulishwa usiku mbele ya mashabiki wa Arsenal kwenye mchezo dhidi ya Liverpool

Giulianelli ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa "Arsenal wamekodi ndege binafsi itakayo safiri kwenda kumchukua Benzema siku ya Jumapili jioni"

"Atafanya vipimo jumatatu mchana kabla  ya kutambulishwa baadae kwenye mchezo dhidi ya Liverpool" alimaliza Giulianelli.

Taarifa hii imekuja baada ya siku moja kupita ambapo mshambuliaji wa zamani wa Qpr na Fulham Rodney Marsh kudai kuwa Real Madrid wamekubali kumuuza Benzema kwenda Arsenal kwa ada  inayodhaniwa  kuwa ni paundi milioni 48.

Image result for BENZEMA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox