STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 21 Agosti 2015

SABABU KWANINI JOSE MOURINHO AMESEMA CHELSEA ITASHINDA MAKOMBE 3 MSIMU HUU

jose

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho anapendwa sana na vyombo vya habari kwasababu kila baada mkutano na waandishi lazima majibu yake yatengenezea habari.

Hivi karibuni amesema kwenye mkutano na waandishi wa habari kwamba msimu huu atashinda makombe matatu ambayo possibliy yatakua ni UEFA,EPL na FA Cup.

Kwenye huo mkutano Jose Mourinho alisema,”Season ambazo naanza kwa matokeo ya 2-2 nyumbani huwa anashinda makombe matatu. Nikiwa na Porto nilipata matokeo ya 2-2 nikashinda matatu, nikiwa na Inter nilipata matokeo ya 2-2 nikashinda makombe matatu. Sasa hivi na Swansea 2-2??”

Lakini wachambuzi wa kumbukumbu wamekumbusha kwamba akiwa na Inter alianza kwa 1-1 na sio 2-2.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox