STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 21 Agosti 2015

KIMWAGA WA AZAM FC ATUA SIMBA ............

KIMWAGA (KATIKATI) AKIPONGEZWA NA ERASTO NYONI BAADA YA KUIFUNGA YANGA, MSIMU ULIOPITA.
Simba imemchukua kinda Joseph Kimwaga kwa mkataba wa mwaka mmoja.


Kimwaga anatokea Azam FC na amejiunga na Simba ambako ataichezea kwa msimu mmoja tu.
Uongozi wa Simba, umethibitisha kumpata Kimwaga mmoja wa vijana wanaochipukia kwa kasi katika soka nchini.


Kimwaga alikuwa anaibuka kwa kasi, lakini alikwama baada ya kuanza kusumbuliwa na maumivu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox