STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 24 Agosti 2015

MAISHA NI MALENGO TIMIZA NDOTO ZAKO...........



Thierry Henry alikuwa gwiji la Arsenal, Walcott wakati akiwa mwokota mipira wa Southampton, alitamani siku moja angalau kupiga naye picha.



Alifanikiwa kufanya hivyo, siku alipojiunga na Arsenal. Alitamani kuwa kama yeye, Henry alipoondoka, alikabidhiwa jezi yake namba 14.

Woga ulimtawala akafikia kuomba namba 8, akaambiwa Samir Nasri anakwenda kujiunga na Arsenal tayari kapewa jezi hiyo, baadaye akakubali kuivaa namba 14.

Kumbuka, Walcott aliweza kuvuka, badala ya kupiga tu picha na Henry, akacheza timu moja pamoja naye.

Lakini baadaye akawa mrithi wa jezi yake na Henry aliporejea Arsenal kwa mkopo, safari hii Walcott ndiye alikuwa na jezi namba 14 na wakacheza timu moja.

Jifunze kujiamini, kuwa na nia ya kutimiza ndoto yako lakini kujiamini kwenda mbali zaidi ya karibu unapotaka kufika.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox