STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 24 Agosti 2015

USAIN BOLT ASHINDA LAKINI TIA MAJI, TIA MAJI.......

  
Usain Bolt fainali ya mita 100 ya mashindano ya IAAF yanayofanyika jijini Beijing, China.

Hata hivyo, amefanikiwa kushinda kwa tofauti ya sekunde moja tu dhidi ya mpinzani wake Justin Gatlin wa Marekani.
Bolt ameshinda kwa sekunde 9.79 huku Gatlin akimaliza kwa sekunde 9-80, jambo ambalo ni nadra kwa Bolt anapokuwa mashindanoni.

Pamoja na kushangiliwa sana, lakini wengi walianza kuingia hofu na kiwango cha Bolt kuwa si kile kilichozoeleka.










Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox