STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 30 Desemba 2015

BAADHI YA MATUKIO YA KUKUMBUKWA 2015 ......................


Nyosso akimdhalilisha Bocco

1- Mchezaji wa Mbeya City Juma Nyosso Kumdhalilisha nyota wa Azam FC John Bocco ni tukio baya la utovu wa nidhamu lililotokea katika Ligi Kuu Bara. Nyosso amefungiwa kucheza kwa muda wa miaka miwili.

 


Nyosso akimdhalilisha Bocco

2- Hirizi!...Mchezaji wa kimataifa wa Senegal, Papa N'daw aliyekuwa akikipiga Simba alizua tafrani baada ya kufumwa uwanjani akiwa na hirizi. Awali mchezaji huyo aliingia uwanjani dhidi ya Yanga akiwa na viatu vichakavu. Imani zake za kishirikina hazikumfikisha popote kwani mwisho wa yote Simba SC iliamua kumrejesha Senegal.

 


Nyosso akimdhalilisha Bocco

3- Watanzania wawili wanaokipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walifanikiwa kushinda kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya kwanza.

 

Nyosso akimdhalilisha Bocco

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox