STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 14 Desemba 2015

MAJANGA KWA CHELSEA YAKIONA CHA MOTO....................................

 Leicester City 2-1 Chelsea: Jamie Vardy and Riyad Mahrez strikes lift Foxes to the top of

Baada ya kupigwa kwa michezo ya mwishoni mwa juma, ukapigwa mchezo mwingine wa Jumatatu December 14 kwenye ligi ya England maarufu kama EPL ambapo Leicester City walikuwa wenyeji wa Chelsea vijana kutoka jijini London.


The Blues boss suggested last season’s title triumph might solely be down to his skill as a manager
Leicester City wakazidi kuudhihirishia ulimwengu kwamba wanashikilia usukani wa ligi si kwa kubahatisha kufuatia kuwatoa jasho Chelsea ambao ni mabingwa watetezi wa taji la EPL kwa kuwachapa kwa bao 2-1 na kuitoa Arsenal kileleni mwa ligi.
 Mourinho talks to playmaker Eden Hazard, who left the field injured after half an hour of the defeat
Mchezaji bora wa ligi hiyo wa mwezi November Jamie Vardy aliendeleza kugawa dozi baada ya kuufungua wavu wa Chelsea dakika ya 34 kipindi cha kwanza kwa kuunganisha pasi ya Riyad Mahrez na kuiandikia Leicester bao la kuongoza ambalo lilidumu hadi kipindi cha kwanza kinamalizika.
 Jamie Vardy celebrates after scoring the opening goal of the Premier League game against Chelsea 
Mahrez akathibitisha kwamba yeye ni bora na ni mchezaji wa kiwango cha kimataifa baada ya kutandika bao la pili dakika tatu tu baada ya kipindi cha pili kuanza na kuiacha Chelsea imeduwaa.
 Leicester's Riyad Mahrez sprints away in celebration having scored a magnificent second for the home side
 Bao hilo lilivuruga mipango yote ya Chelsea iliyokuwa imejipanga kusawazisha goli la kwanza lakini ikajikuta ikiongezewa mlima wa kupanda.

Loic Remy aliyeingia dakika ya 65 kuchukua nafasi ya Oscar akaifungia Chelsea goli la kufutia machozi dakika ya 77 kipindi cha pili akiunganisja krosi iliyopigwa na Rodriguez.
 Chelsea substitute Remy signals to the badge and runs back to the halfway line after his goal on Monday night

Matokeo hayo yameirejesha tena Leicester City kileleni mwa ligi ya England ikifikisha pointi 35 ikifuatiwa na Arsenal ambao wanapointi 33 wakati Chelsea wakisalia kwenye nafasi ya 16 na pointi zao 15 huku timu zote zikiwa zimeshacheza mechi 16 hadi sasa.


























VIBWAGIZO MBALIMBALI VYA MCHEZO HUO

 
 


Ujumbe wa Jamie Vardy kwa mashabiki wa Leicester City akiwashukuru kwa kui-support timu yao inapokuwa uwanjani
Ujumbe wa Jamie Vardy kwa mashabiki wa Leicester City akiwashukuru kwa kui-support timu yao inapokuwa uwanjani

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox