
Baada ya kucheza mechi 16, wamepoteza 9 na mpaka sasa wana pointi 15 tu – presha ya kumtimua kocha Jose Mourinho inazidi kupanda.

Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari leo mchana manejimenti ya timu inayoundwa na — Bruce Buck, Marina Granovskaia, Eugene Tenenbaum and Michael Emenalo — watakutana pamoja na Mmiliki Roman Abramovich kuamua hatma ya Mourinho.

Wakati mreno huyo aliporejea katika klabu mwaka 2013, bodi ya menejimenti ilipiga kura 3-2 ili kumrudisha. Leo inaweza kuwa tofauti.
Kulipa fidia ya mkataba wa wake wa miaka minne unaomfanya alipwe £250,000 kwa wiki ni moja ya sababu kuu nyuma ya kusita kwa Chelsea kumtimua kazi Mourinho muda mfupi baada ya kusaini mkataba mpya.
Mourinho alikubali kuongeza mkataba mpya mwishoni mwa msimu uliopita lakini klabu ilisubiri mpaka mwezi August kabla ya kusaini mkataba mpya rasmi.
Baada ya kushinda ubingwa vizuri sana, Chelsea waliamini alikuwa kocha bora zaidi duniani na wakakubali kumuongezea mkataba wa miaka minne bila kukubaliana kuweka kipengele cha makubaliano endapo wakiamua kumtimua kazi. Sasa hivi endapo Abramovich atataka mreno aondoke itabidi amlipe fidia ya £40m – hii itakuwa mara ya pili Mourinho kulipwa fidia baada ya kufukuzwa na Chelsea.

WACHEZAJI WALIO TASMINIWA KAMA WANASTAHILI KUBAKI CHELSEA AU KESEPESHWA:

Thibaut Courtois
STAY

Asmir Begovic
STAY

Cesar Azpilicueta
STAY

Gary Cahill
STAY 
Branislav Ivanovic
STAY 
Baba Rahman
GO 
John Terry
STAY 
Kurt Zouma
STAY 
Eden Hazard
JURY'S OUT
Cesc Fabregas
GO 
Ruben Loftus-Cheek
STAY 
Kenedy
STAY 
Nemanja Matic
STAY 
John Obi Mikel
GO 
Oscar
GO
Pedro
GO 
Ramires
STAY 
Bertrand Traore
GO 
Willian
STAY 
Diego Costa
GO 
Radamel Falcao
GO 
Loic Remy
STAY 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni