STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 26 Desemba 2015

MOURINHO SASA ANAKARIBIA KUTUA MANCHESTER UNITED BAADA YA MATOKEO HAYA KWA UNITED......

 kocha wa  Stoke city Mark Hughes 

Ligi kuu ya nchini Uingereza imeendelea tena siku ya leo jumamosi ya Boxing day na miongoni mwa michezo ambayo imefuatiliwa na mashabiki wengi ni mchezo wa Stoke City dhidi ya Manchester United katika uwanja wa Britania.
 
 

kocha wa manchester united louis Van Gaal

Manchester  United wakiwa katika kiwango kibovu kabisa huku kocha wao muholanzi Louis Van Gaal akiwa njia panda kuendelea kuifunza timu hiyo kutokana na matokeo mabovu wanayopata licha ya kufanya usajili mkubwa wamejikuta wakipoteza kwa kufungwa 2-0.

Goli la kwanza la Stoke lilifungwa na Bojana baada ya kazi nzuri ya Glen Johnson mnamo dakika ya 19 
 
Na baadae Marko Arnautovic akapachika la pili dakika ya 26
 























Mashabiki wa Stoke City wakimkejeli Louis Van Gaal

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox