STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 19 Februari 2016

KWA TAKWIMU HIZI NANI ALAUMIWE.?

  Louis van Gaal admits 'we're f*****g s**t' chant was justified after Manchester United
Man United vipi tena, haina makali, si kali na wala haitishi. imetandikwa mabao 2-1 katika mechi ya Kombe la Europa Cup dhidi ya FC Midtjylland ya nchini Denmark.

Pamoja na kwamba ilikuwa ugenini, Man United ilikuwa ikipewa nafasi ya kushinda dhidi ya timu hiyo ndogo. Lakini imefungwa mabao hayo 2-1 pamoja na mshambuliaji wake Memphis Depay kufunga bao moja.


FC Midtjylland (4-4-2): Andersen, Romer, Bodurov, Hansen, Novak, Sparv, Sisto, Olsson, Hassan (Urena 66), Kadlec (Royer 80), Pusic (Onuachuat 60)
Subs not used: Dahlin, Duelund, Banggaard Jensen, Bak Nielsen
Scorers: Sisto 44, Onuachu 77
(4-3-3): Romero, Love, McNair, Smalling, Blind, Carrick, Herrera (Schneiderlin 72), Lingard, Mata (Pereira 78), Depay, Martial
Subs not used: Poole, Weir, Keane, Riley
Booked: Love, Lingard, Smalling
Scorers: Depay 37 

Referee: Artur Dias Soares

Midtjylland forward Pione Sisto celebrates after scoring the equalising goal against United in the Europa League round of 32 victory 

United forward Memphis Depay (left) celebrates scoring the opening goal against Midtjylland during Thursday night's clash in Denmark




                         MECHI WALIZO POTEZA MPAKA SASA

Premier League  
Swansea City 2-1 Manchester United
Arsenal 3-0 Manchester United
Bournemouth 2-1 Manchester United
Manchester United 1-2 Norwich City
Stoke City 2-0 Manchester United
Manchester United 0-1 Southampton
Sunderland 2-1 Manchester United

League Cup
Middlesbrough 0-0 (3-1 pen) Manchester United 
Champions League
PSV 2-1 Manchester United
Wolfsburg 3-2 Manchester United
Europa League 
Midtjylland 2-1 Manchester United


           WACHEZAJI WALIO MAJERAHA

De Gea; Darmian, Jones, Rojo, Shaw; Young, Schweinsteiger, Fellaini, Valencia; Januzaj; Rooney 

 UTD_TABLE2_2698649a

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox