STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 12 Februari 2016

MESSI AMEKUWA GUMZO BAADA YA KUNUNUA FERRARI HUKU RONALDO AKIAMBULIA PATUPU..........

 Lionel Messi has taken to Instagram to poke fun at rumours he forked out more than £25m on a classic Ferrari

Imeripotiwa Mwargentina huyo amempiku Cristiano Ronaldo kuipata Ferrari 335 S Spider Scaglietti ya 1957 - Ametupia mambo kwenye Instagram.

Lionel Messi amelianika hadharani gari lake lenye thamani ya euro milioni 32 ambalo amelipata kwenye mnada...ni la gharama kubwa ambayo si rahisi kupata kwa bei za kawaida.

The car, which was sold to a round of applause on Saturday, is known for doing a staggering 186mph in 1957
 


Mapema juma hili, ilidaiwa kuwa nyota huyo wa Barcelona ana dau kubwa kwenye mnada kwa ajili ya Ferrari 335 S Spider Scaglietti ya 1957, ambayo ilikuwa ikiendeshwa na Sterling Moss kwenye Mashindano ya Tuzo kubwa za Cuba "Cuban Grand Prix" ya mwaka 1958.

Esteemed Ferrari historian Marcel Massin had previously described the classic Ferrari as the 'top of the top'
 Zabuni zilianzia euro milioni 20 na kuishia euro milioni 32 - na kabla ya mshindi kutajwa, ilidaiwa kuwa Messi ndiye aliyekuwa mnunuzi.

Earlier this week it was claimed Messi secured the purchase of a 1957 Ferrari 335 S Spider Scaglietti


Imeripotiwa kuwa Mwargentina huyo alimpiku Cristiano Ronaldo kuchukua gari hiyo aina ya FerrariThe Argentine also reportedly outbid Cristiano Ronaldo for the Ferrari - ingawa inaonekana kama amejinadi sana kwenye mtandao wa Instagram...


 Bracelona attacker Messi, who recently underwent a minor kidney procedure, played down the reports

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox