Rasmi Coastal union yashuka daraja hii leo baada ya
kufungwa goli 2-1 na Stand united katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom
uliochezwa katika uwanja wa CCM Kambarage mkoani Shinyanga.
Katika mchezo wa leo Coastal union iliingia uwanjani bila ya nyota wake 7 ambao waligoma kuongozana na timu hiyo mkoani Shinyanga.
Katika mchezo huo Stand united walianza kwa kasi huku Coastal union wakianza kwa kujiami na kupeleka mashambulizi ya kushtukiza na kutengewnza nafasi kadhaa walizo shindwa kuzitumia.
Katika dakika ya 29 Stand united walipata penati ambayo Elius Maguli aliiandikia goli la kuongoza Stand kwa mkwaju huo wa penati.
Katika mchezo wa leo Coastal union iliingia uwanjani bila ya nyota wake 7 ambao waligoma kuongozana na timu hiyo mkoani Shinyanga.
Katika mchezo huo Stand united walianza kwa kasi huku Coastal union wakianza kwa kujiami na kupeleka mashambulizi ya kushtukiza na kutengewnza nafasi kadhaa walizo shindwa kuzitumia.
Katika dakika ya 29 Stand united walipata penati ambayo Elius Maguli aliiandikia goli la kuongoza Stand kwa mkwaju huo wa penati.
Kuingia kwa goli hilo kuliongeza kasi ya mchezo huku timu
zote mbilia zikiendelea kupoteza nafasi za kufunga magoli na kupeleka dakika 45
za kwanza kumalizika kwa Stand united kuwambele kwa goli 1-0.
Katika kipindi cha pili Coastal union walirejea kwa kucheza mipira mirefu, huku Stand united wakijaribu kutawala mchezo, na katika dakika ya 46 Elius Maguli aliianikia Stand united goli la 2.
Coastal union walireja mchezoni katika dakika ya 64 baada ya Said Jeilani kuindika Coastal union goli la kufutia machozi na kupeleka mchezo kumalizika kwa Coastal union kufungwa goli 2-1.
Kwa matokeo hayo Coastal union wameshuka daraja rasmi, na msimu ujao hawatokuwepo katika ligi kuu ya vodacom.
Katika mchezo mwingine uliochezwa Mabatini, JKT Ruvu wameendelea kulikwepa janga la kushuka daraja baada ya leo kuifunga goli 2-0 Ndanda FC.
Katika kipindi cha pili Coastal union walirejea kwa kucheza mipira mirefu, huku Stand united wakijaribu kutawala mchezo, na katika dakika ya 46 Elius Maguli aliianikia Stand united goli la 2.
Coastal union walireja mchezoni katika dakika ya 64 baada ya Said Jeilani kuindika Coastal union goli la kufutia machozi na kupeleka mchezo kumalizika kwa Coastal union kufungwa goli 2-1.
Kwa matokeo hayo Coastal union wameshuka daraja rasmi, na msimu ujao hawatokuwepo katika ligi kuu ya vodacom.
Katika mchezo mwingine uliochezwa Mabatini, JKT Ruvu wameendelea kulikwepa janga la kushuka daraja baada ya leo kuifunga goli 2-0 Ndanda FC.
MATOKEO
LIGI KUU LEO
MGAMBO JKT 1-1 MTIBWA SUGAR
STAND UNITED 2-1 COASTAL UNION
JKT RUVU 2-0 NDANDA FC
STAND UNITED 2-1 COASTAL UNION
JKT RUVU 2-0 NDANDA FC
MSIMAMO WA LIGI KUU YA VODACOM
Rn
|
Timu
|
P
|
W
|
D
|
L
|
F
|
A
|
Gd
|
Pts
|
1
|
YANGA
|
27
|
21
|
5
|
1
|
64
|
16
|
48
|
68
|
2
|
SIMBA SC
|
26
|
18
|
4
|
4
|
43
|
14
|
29
|
58
|
3
|
Azam FC
|
27
|
16
|
9
|
2
|
42
|
21
|
21
|
57
|
4
|
MTIBWA SUGAR
|
28
|
13
|
8
|
7
|
31
|
20
|
11
|
47
|
5
|
T. PRISONS
|
27
|
10
|
12
|
5
|
24
|
22
|
2
|
42
|
6
|
MWADUI FC
|
27
|
10
|
7
|
10
|
27
|
26
|
1
|
37
|
7
|
STAND UNITED
|
28
|
11
|
4
|
13
|
26
|
28
|
-2
|
37
|
8
|
MBEYA CITY
|
27
|
9
|
6
|
12
|
31
|
31
|
0
|
33
|
9
|
NDANDA FC
|
28
|
7
|
12
|
9
|
26
|
29
|
-3
|
33
|
10
|
MAJIMAJI FC
|
27
|
9
|
6
|
12
|
20
|
36
|
-16
|
33
|
11
|
TOTO AFRICANS
|
28
|
7
|
9
|
12
|
26
|
38
|
-12
|
30
|
12
|
JKT RUVU
|
28
|
7
|
8
|
13
|
29
|
37
|
-8
|
29
|
13
|
AFRICAN SPORT
|
28
|
7
|
5
|
16
|
12
|
30
|
-18
|
26
|
14
|
KAGERA SUGAR
|
27
|
6
|
7
|
14
|
19
|
31
|
-12
|
25
|
15
|
MGAMBO SHOOTING
|
28
|
5
|
9
|
14
|
22
|
35
|
-13
|
24
|
16
|
Coastal Union
|
29
|
5
|
7
|
17
|
17
|
40
|
-23
|
22
|
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni