STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 22 Mei 2016

HIVI NDIVYO MANCHESTER UNITED,PSG,BAYERN MUNICH NA JUVENTUS WALIVYO NYANYUA MAKWAPA.....



 Alan Pardew shows off his dance moves in touchline jig to celebrate Jason Puncheon's FA

Manchester United wametoka nyuma na kuichapa Crystal Palace na kutwaa kombe la FA Cup kwenye uwanja wa Wembley kupitia goli la ushindi la Jesse Lingard katika muda wa nyongeza baada ya sare ya goli 1-1 kwenye dakika 90.

Kitwanga

Huku kukiwa na tetesi kwamba mchezo huo huenda ukawa wa mwisho kwa kocha Louis van Gaal kama manager wa Manchester United, lakini ameweza kuongeza taji maarufu kwenye maisha yake ya soka akiwa England.

Kitwanga 5

United wangelikosa taji hilo inamaanisha walikuwa wanamaliza msimu huu bila taji lolote huku wakiwa wameshapoteza nafasi ya kushiriki michuano ya klabu bingwa Ulaya, Jason Puncheon aliongeza maumivu kwa United baada ya kukandamiza bao lililoiweka mbele Palace zikiwa zimesalia dakika 12 pambano kumalizika.

Kitwanga 4

Goli la Puncheon lilikuwa ni mwiba kwa United lakini wakali hao wa Old Trafford walisawazisha bao hilo dakika nne baadaye kwa Mata kumalizia kazi nzuri iliyofanywa na Wayne Rooney.

Kitwanga 6

Beki wa Manchester United Chris Smalling alioneshwa kadi ya pili ya njano na kusindikizwa na kadi nyekundu kwa kumchezea vibaya Yannick Bolasie wakati wa muda wa nyongeza lakini Lingard akapeleka shangwe Old Trafford kwa kufunga bao la ushindi na kuipa United taji la FA.

PICHA KOCHA WA C.PALACE,ALAN PARDEW AKICHEZA BAADA YA PUNCHEON ALIPOFUNGA GOLI;
The Palace boss was delighted on the touchline and could not resist a short celebratory jig after the goal
 Crystal Palace manager Alan Pardew enjoyed Jason Puncheon's goal so much that he broke into a dance
Pardew was almost looking into the cameras on the BBC television coverage while showing off his moves

Pardew's moves might have been more at home at a nightclub than at English fooball's showpiece gameManagers often look calm and collected on the touchline but this moment was one for Pardew to enjoy




  • Manchester United sasa wametwaa FA Cup kwa mara ya 12 na kuifikia rekodi ya Arsenal
  • Louis van Gaal ni kocha wa tatu kutoka Uholanzi kufanikiwa kushinda FA Cup, akitanguliwa na Guus Hiddink na Ruud Gullit.
Kitwanga 1
  • Goli la ushindi la Jesse Lingard lilikuwa la kwanza kwenye michezo 18 aliyocheza kwenye mashindano yote.
Kitwanga 2
  • Chris Smalling ni mchezaji wanne lakini ni wa kwanza kutoka England kupewa kadi nyekundu kwenye mchezo wa fainali ya FA Cup wengine waliowahi kupewa kadi nyekundu kwenye fainali ya FA Cup ni (Kevin Moran 1985, Jose Reyes 2005 and Pablo Zabaleta 2013).
Kitwanga 3
  • Manchester United wameshinda michezo yote ya fainali za FA Cup iliyohusisha wachezaji wake kutolewa kwa kadi nyekundu (1985 and 2016).


                    FAINALI YA DFP-POKAL
Bayern Munich 0-0 Borussia Dortmund (4-3 on pens): Pep Guardiola left in tears after 

Bayern Munich imeishinda Borussia Dortmund kwa penalti 4-3 na kubeba ubingwa wa Kombe la Ujerumani.

Huo ni ushindi wa 11 kwa Bayern kushinda makombe mawili ya Bundesliga na Kombe la Ujerumani kwa wakati mmoja.


Lakini klabu hiyo, imemuaga vizuri kocha Pep Guardiola ambaye alishindwa kujizuia na kumwaga chozi. Kocha huyo anaondoka na kwenda kujiunga na Manchester City.

Timu hizo zilicheza kwa dakika 120 bila kupata mshindi na zikalazimika kupigiana mikwaju ya penalti.

Kipa nyota wa Bayern, Manuel Neuer aliokoa mkwaju ya Sven Bender na Sokratis Papastathopoulos akakosa.

Kipa mzoefu wa Dortmund, Roman Buerki aliokoa mkwaju wa Joshua Kimmich lakini Thomas Muller akafunga na kuifanya Bayern iendelee kubaki kwenye msitari.






COUPE DE FRANCE

Marseille 2-4 PSG: Zlatan Ibrahimovic signs off in style with brace in French Cup final to

FT; PSG 4-2 MARSEILLE

Newcastle loanee Florian Thauvin (right) drew Marseille level in te first half with a deflected shot 

Marseille (4-4-2): Mandanda; Manquillo, N'Koulou, Rekik, Mendy; Isla, Barrada (Dje Djedje), Diarra, Thauvin (N'Koudou); Batshuayi, Fletcher (Cabella).
Subs: Pele, Rolando, Romao, Alessandrini.
Booked: Mendy

Scorer: Thauvin 12', Batshuayi 87'

Uruguay international Cavani celebrates after scoring PSG's third goal in the French Cup final
PSG (4-3-3): Sirigu; Aurier, Thiago Silva, Marquinhos, Maxwell; Stambouli (Luiz), Matuidi, Rabiot; Di Maria, Ibrahimovic (Kurzawa), Cavani (Lucas).
Subs: Douchez, Van der Wiel, Rimane, Augustin.
Booked:  

Scorer: Matuidi 3', Ibrahimovic (pen) 47' 82', Cavani 57'


                 COPPA ITALIA FT; JUVEBTUZ 1-0 AC MILAN

Milan (4-2-3-1)
Carlos Bacca tries his luck with a bicycle kick, but the striker's effort arcs narrowly over the crossbar
Donnarumma; Calabria, Zapata, Romagnoli, De Sciglio; Montolivo (Mauri), Poli (Niang); Honda, Kucka (Balotelli), Bonaventura; Bacca. 

Substitutes: Diego Lopez, Mauri, Mexes, Menez, Luiz Adriano, Niang, Abbiati, Alex, Balotelli, Boateng, Locatelli, Bertolacci.

Booked: Zapata, Mauri, Niang, Honda

Legendary Italian goalkeeper runs over to the Old Lady fans after winning the tournament for a third time
Juventus (3-5-2)
Neto; Barzagli, Rugani, Chiellini; Lichtsteiner (Cuadrado), Lemina, Hernanes (Morata), Pogba, Evra (Alex Sandro); Mandzukic, Dybala.

Substitutes: Buffon, Zaza, Morata, Alex Sandro, Cuadrado, Padoin, Asamoah, Sturaro, Rubinho, Pereyra.
Juventus striker Alvaro Morata celebrates after opening the scoring in Saturday's Italian Cup final
Goals: Morata

Booked: Rugani, Barzagli,Chiellini, Morata, Pogba

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox