STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 22 Mei 2016

JOSE MOURINHO KASHATUA MANCHESTER UNITED.............

Jose Mourinho waiting to take over at Manchester United but current boss Louis van GaalHatimaye tetesi zinageuka kuwa kweli, Manchester United watamtangaza Jose Mourinho kuwa kocha wao, shirika la utangazaji la Uingereza BBC limeripoti.

 Mourinho amekuwa nje ya kazi tangu alipofukuzwa kazi na Chelsea mnamo December 2015. 

 The Dutchman is the first United manager since Sir Alex Ferguson to deliver a major trophy 
Huku United wakiwa wameshindwa kufuzu kucheza Champions League chini ya Louis van Gaal – viongozi wa Old Trafford wameamua kufanya mabadiliko. 

Inaeleweka dili na kocha huyo mwenye miaka 53 lilifanyika kabla ya mchezo wa fainali ya FA Cup dhidi ya Crystal Palace.

United wanategemewa kumtangaza rasmi Mourinho mapema wiki ijayo baada ya kumtaarifu Van Gaal kuhusu mwisho wa ajira yake. 

Van Gaal bado ana mwaka mmoja kwenye mkataba wake wa miaka 3, lakini pamoja na kutumia £250m utawala wake umekuwa wa majuto kwa klabu na kuwaacha mashabiki wengi wakiwa hawaridhiki na utendaji wake, msimu wa kwanza alimaliza nafasi ya 4, na msimu huu watano.


Mourinho ni mmoja wa makocha bora katika ulimwengu wa soka, akishinda makombe matatu ya ligi katika vipindi viwili vya kazi ndani ya Chelsea, pamoja kuziongoza Porto na Inter Milan kutwaa Champions League – pia akibeba ubingwa wa La Liga na RealMadrid.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox