STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 18 Mei 2016

KWA TAKWIMU HIZI MASHABIKI WANAHAKI YA KUMZOMEA VAN GAAL......

 Some fans took banners to a half-empty Old Trafford on Tuesday night calling for the Dutchman to go

Anguko la MANCHESTER UNITED chini ya Louis van Gaal linadhihirika wazi na takwimu mbalimbali zinaonyesha madhaifu yao katika Premier League msimu huu.


 But the Dutchman excepted earlier in the season that finishing in the top four was the minimum requirement

Van Gaal yupo katika hatihati kufukuzwa kutoka Old Trafford baada ya kufeli kupata nafasi ya kucheza Champions League msimu ujao pamoja na kutumia £250million kufanya usajili. 

 Louis van Gaal was booed by Manchester United fans as he addressed them in his end of season speech

Kocha huyo wa kidachi amekuwa akisisitiza kwamba kikosi kinacheza soka la kushambulia pamoja na kukosolewa kwa kucheza soka lilopooza na mashabiki wa klabu hiyo.

Na takwimu za msimu zinathibitisha bila mashaka Van Gaal ameifanya United kuwa imara nyuma na dhoofu mbele kwenye udhambuliaji. 


image

Ni timu tatu pekee katika Premier League ambazo zina wastani mdogo wa kupiga mashuti langoni kuliko Manchester United, timu hizo ni Aston Villa iliyoshuka daraja pamoja na Newcastle na nyingine ni West Brom. 

United wamepiga mashuti 418 langoni mwa wapinzani katika msimu mzima, namba sawa na Norwich, wamezidiwa kwa mara 241 ya mashuti waliyopiga Spurs ambao ndio wanaongoza. 

Pamoja na kwamba United wamekuwa wakigombea nafasi nne za juu msimu mzima, lakini hawakuwa tishio kwa safu za ulinzi za wapinzani kama ilivyo kwa timu nyingine. 

image

Wanashika nafasi 7 katika listi ya waliofunga magoli mengi kwenye ligi – wakiwa wamefunga magoli 46 – magoli mawili nyuma ya Sunderland ambao wameepuka kushuka daraja hivi karibuni. 

image

Van Gaal amekuwa akitetea sana staili ya uchezaji wa timu yake lakini namba hazidanganyi – Manchester United ni moja ya timu zinazoongoza kwa kupiga pasi za kwenda pembeni kwenye Premier League – 3107, ni timu mbili tu ambazo zimepiga pasi za pembeni kuwazidi wao msimu mzima.

image
Takwimu zinazoonyesha Man United ndio timu inayoongoza kupiga pasi 
za kurudi nyuma katika ligi msimu mzima.
Ni muda sahihi umefika wa United kuachana na LVG – ni wazi mbinu zake zimefeli na zinaendana kinyume na soka halisi la utamaduni wa Manchester United.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox