STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 25 Mei 2016

NDOTO YA ZIDANE JUMAMOSI HII MBELE YA ATLETICO MADRID FAINALI YA UEFA................

Zidane won the trophy once in his career as a player, for Real Madrid against Bayer Leverkusen in Glasgow


Ndani ya dimba la Giusseppe Meazza (San Sirro) Jumamosi hii kutakuwa na vita ya kuuwania ufalme wa Ulaya baina ya watoto wa mji mmoja, Real Madrid dhidi ya Atletico Madrid umbali wa km 15 za barabara unaweka tofauti ya kimakazi baina ya mahasimu hawa.
 img_7517.jpg

Wakati macho na akili za mamilioni ya mashabiki zikielekezwa katika kutaka kujua nani atakayeibuka na ushindi mwishoni mwa kipyenga cha mwamuzi Mark Clattenburg kutoka England.

 


Kocha wa Real Madrid,Zinedine Yazid Zidane ‘Zizzou’, ambaye ulimwengu mzima unaamini kuwa mchezaji aliyefunga goli bora zaidi la wakati wote katika michuano ya UEFA, pindi alipopigilia ‘volley’ iliyoipa Real Madrid ushindi wa taji lake la tisa la michuano hii mnamo mwaka 2002.

Zinedine Zidane could become only the sixth person to win the Champions League as a player and manager

 Anayo nafasi ya kuingia katika kumbukumbu ya kihistoria na kuwa mtu wa saba kuwahi twaa taji la Ulaya akiwa ndani ya jezi kama mchezaji na baadaye ndani ya suti ya ukocha.

Wataalamu wengine waliowahi kufanya hivyo ni 

Giovanni Trapattoni (1963, 1969 akiwa mchezaji wa Ac Milan na 1985 akiwa kocha wa Juventus)

Giovanni Trapattoni won the European Cup while manager of Juventus having won it with AC Milan as a player

Carlo Ancelotti (1989, 1990 akiwa mchezaji wa Ac Milan na 2003, 2007-Ac Milan ,2014 akiwa kocha wa Real Madrid)

Carlo Ancelotti is the only manager in the history of the game to win the Champions League three times
Johan Cruyff (1971, 1972, 1973 akiwa mchezaji wa Ajax na  1992 akiwa kocha wa Barcelona)

Then-manager Johan Cruyff led his Barcelona 'dream team' to success in the European Cup in 1992
He won it as a player on three consecutive occasions, in 1971, 1972 and 1973, while playing for  Ajax
Frank Rijkaard (1989, 1990-Ac Milan, 1995 akiwa mchezaji wa Ajax na  2006 akiwa kocha wa Barcelona)

As a coach, Frank Rijkaard managed to win the Champions League with Barcelona against Arsenal in 2006
Rijkaard had previously won the European Cup as a player with Milan before doing it again with Ajax in 1995
Pep Guardiola (1992 akiichezea Barcelona na 2009, 2011 akiifundisha Barcelona)

Pep Guardiola led Barcelona to the Champions League in his first season with the club before winning it again

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox