STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 25 Mei 2016

SERENGETI BOYS WAONESHA MATUMAINI BAADA YA KUSHIKA NAFASI YA TATU INDIA...........

 
Wachezaji wa Tanzania wakishangilia baada ya kukabidhiwa zawadi za ushindi wa tatu wa michuano ya Vijana chini ya umri wa miaka 16 nchini India maarufu kama AIFF Youth Cup kufuatia kuifunga Malaysia mabao 3-0 mchana wa leo mjini Goa. 

 

Mabao ya Serengeti yamefungwa na Rashid Abdallah dakika ya 13, Shaaban Zuberi dakika ya 41 na Mushin Malima dakika ya 45.

 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox