STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 18 Mei 2016

SEVILLA NDIO VIDUME VYA EUROPA, BAADA YA KUICHAPA LIVERPOOL JANA.

TIMU ya Sevilla ya nchini Hispania imenyakua ubingwa wa Europa ligi kwa mara ya tatu mfululizo baada ya kuichapa Liverpool magoli 3-1 katika uwanja wa St. Jacob Park jijini Basel, Uswis.

Sevilla players pose with the trophy after completing a stunning second-half comeback to win a record third consecutive Europa League Liverpool ambao waliunza mchezo kwa kasi kipindi cha kwanza ndiyo walikuwa wa kwanza kupata goli dakika ya 35 kupitia kwa Daniel Sturridge baada ya kupokea pasi kutoka kwa Phillipe Coutinho.

A small but heated scuffle broke out between a group of around 20 to 30 supporters shortly before kick off Kipindi cha pili kilipoanza mshambuliaji Kelvin Gameiro aliisawazishia Sevilla baada ya kupokea pasi toka kwa Mariano huku magoli mengine yakifungwa na Coke dakika ya 64 na 70.

Pamoja na kupata magoli hayo, pia mabingwa hao wa kihistoria walionekana kucheza vizuri kwa muda mwingi kipindi cha pili na kuwafanya majogoo wa Anfield kushindwa kuwazuia wanapofika langoni kwao.

The incident took place behind one of the goals in the area where the two sets of fans were sharing a stand Sevilla imenyakua taji hilo mara nne ndani ya miaka 10 tangu 2006. Imechukua ubingwa huo mwaka 2006, 2014, 2015 na 2016.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox