STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 23 Mei 2016

STORI KUBWA NNE KUMUHUSU MOURINHO NA MANCHESTER UNITED PAMOJA NA GUARDIOLA...........

Spanish sports newspaper Marca have talked up Guardiola and Mourinho's rivalry in their latest edition

 

Kwa hivi sasa Jose Mourinho anatamkwa kwenda kuchukua nafasi ya Muholanzi, Louis Van Gaal  alietimuliwa kuifundisha Manchester United.

Uwepo wa Mourinho Old Trafford unasubiliwa kwa hamu kubwa sana kuona kama kocha huyo atarejesha mafanikio ya Mashetani wekundu katika kuchukua vikombe mbalimbali.

Pep Guardiola is set to take over at Manchester City while Jose Mourinho is joining Manchester United Ukiachilia mbali taarifa ya uwezekano wa Giggs kuikacha Manchester United kwa sababu za ujio wa Mourinho huku pia taarifa zikisema Mourinho anamuhitaji Gary Neville kwenye benchi la ufundi stori nyingine kubwa Pep Guardiola kocha mpya wa Manchester City.

The pair were involved in plenty of heated exchanges while managing Barcelona and Real Madrid respectively
Makocha hawa wamekuwa na ushindani mkubwa wa kimafanikio na pia walipokuwa wote Hispania. Mengi yanazungumzwa kuona ni nani kati yao atakuwa mbabe wa mwenzake.

Endapo Mourinho atatangazwa kuinoa Manchester United mchezo wake wa kwanza dhidi ya Guardiola utakuwa mwezi wa saba tarehe 25 katika kombe la kimataifa yakiwa ni maandalizi ya msimu mpya.
 

Guardiola and Mourinho actually worked together at Barca in the 1990s under the late Sir Bobby Robson 
Guardiola na  Mourinho walipokuwa Barca  1990 chini ya kocha  Sir Bobby Robson 
Mourinho is thought to be bitter about being overlooked for the Barca job in favour of his rival  
Mourinho, while in charge of Inter Milan, delighted in knocking Barca out of the Champions League in 2010 

                                         MAFANIKIO YA MOURINHO

Porto
Primeira Liga: 2002–03, 2003–04
Taça de Portugal: 2002–03
Supertaça Cândido de Oliveira: 2003
UEFA Champions League: 2003–04
UEFA Cup: 2002–03
Chelsea
Premier League: 2004–05, 2005–06, 2014–15
FA Cup: 2006–07
Football League Cup: 2004–05, 2006–07, 2014–15
FA Community Shield: 2005
Inter Milan
Serie A: 2008–09, 2009–10
Coppa Italia: 2009–10
Supercoppa Italiana: 2008
UEFA Champions League: 2009–10
Real Madrid
La Liga: 2011–12
Copa del Rey: 2010–11
Supercopa de Espana: 2012

(Left to right:) Juan Carlos Busquets, Luis Enrique, Mourinho and Guardiola on their way to training at Barca

                                         MAFANIKIO YA GUARDIOLA

Barcelona B 
Tercera División: 2007–08
Barcelona
La Liga: 2008–09, 2009–10, 2010–11
Copa del Rey: 2008–09, 2011–12
Supercopa de España: 2009, 2010, 2011
UEFA Champions League: 2008–09, 2010–11
UEFA Super Cup: 2009, 2011
FIFA Club World Cup: 2009, 2011
Bayern Munich 
Bundesliga: 2013–14, 2014–15, 2015–16
DFB-Pokal: 2013–14, 2015–16
UEFA Super Cup: 2013
FIFA Club World Cup: 2013
During a post-match brawl after El Clasico in 2011, Mourinho gouged the eye of Barca coach Tito Vilanova 

 

MOURINHO ANAHAMA ZAKE LONDON, HUYOOOOO JIJINI MANCHESTER


Kocha Jose Mourinho ameonekana akisimamia kazi ya kuhama katika eneo la West London jijini London.

Wakati Mourinho anasimamia zoezi hilo, hakuna ubishi sasa anahamia jijini Manchester kwa ajili ya kuanza kazi mpya.


Baada ya kocha Louis van Gaal kutupiwa virago licha ya kutwaa Kombe la FA, kocha anayeelezwa anajiunga na Man United ni Jose Mourinho.













MOURINHO AKITAKA WACHEZAJI HAWA  NA BEI ZAO...


Mara tu atakapotangazwa kuwa Kocha mpya wa Manchester United, kocha Jose Mourinho atataka kuboresha kikosi chake.

Wachezaji wengi sana anaweza kuwatazama lakini wake ambao bei zao ni juu na wengine wake huru kama Zlatan Ibrahimovich.

             HAWA HAPA NA BEI ZAO, KAZI KWAKE
 
Nemanja Matic - Chelsea - £25million
Joao Mario - Sporting Lisbon - £35m
Antoine Griezmann - Atletico Madrid - £63m
Gonzalo Higuain - Napoli - £72m
John Stones - Everton - £45m
Raphael Varane - Real Madrid - £35m

Alvaro Morata - Juventus/Real Madrid - £40m
 

JEZI YA MAN UNITED NA JINA LA JOSE MOURINHO MTAANI

 
   
Tayari jezi za Manchester United zenye jina la Kocha Jose Mourinho ziko mtaani, hii inaonyesha namna gani watu wanajua kutumia fursa. Kocha huyo anatarajia kujiunga rasmi na Manchester United ndani ya saa chache.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox