STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 11 Mei 2016

WINSTON REID AWANYOOSHA MANCHESTER UNITED NAKUINGIA KATIKA KUMBUKUMBU YA WEST HAM....

Former West Ham players arrived on the pitch in London cabs as the club put on a post-match party for their loyal supporters on Tuesday

Klabu ya West Ham United iliaga uwanja wake wa nyumbani wa Upton Park kwa kuvuruga juhudi za Manchester United za kutaka kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya Jumanne.

"LONG LIVE THE BOLEYN," was painted on a wall just outside the Upton Park stadium in blue paint Ilikuwa mechi ya mwisho kuchezewa uwanja huo ambao umetumiwa na West Ham kwa miaka 112 kabla ya kuhamia uwanja wa Olimpiki.

Some supporters managed to get their hands on memorabilia to take home with them after tearing out seats and sign posts at the stadium
Kwenye mechi hiyo ya kusisimua, West Ham walichomoza na ushindi wa 3-2.


West Ham prepared a tifo for the crowd to hold up with the years 1904 to 2016 representing how long the club has spent at Upton ParkVijana wa Louis van Gaal walifahamu kwamba ushindi dhidi ya klabu hiyo na baadaye ushindi dhidi ya Bournemouth vingewahakikishia nafasi katika ligi kuu ya klabu Ulaya.

Hammers boss Bilic greets his opposite number Louis van Gaal ahead of the final match to be played at Upton Park with plenty at stakeLakini kushindwa kwao kuna maana kwamba Manchester City, walio nambari nne, wamo alama nne mbele yao kabla yao kucheza mechi ya mwisho dhidi ya Swansea City.

But West Ham deserved the three points having dug deep  in their final game at the Boleyn Ground to move back up to sixth in the table

West Ham walitangulia kupitia bao la Diafra Sakho kipindi cha kwanza, lakini Antony Martial aliwasawazishia Red Devils kwa bao dakika ya 51 na kisha akawaweka kifua mbele dakika ya 72.

West Ham were not behind for long as Michail Antonio hung in the air to direct his header into the net to bring the scores level once more

West Ham, hata hivyo, walijikwamua kwa kufunga mabao mawili ya kichwa katika kipindi cha dakika nne kupitia Michail Antonio na Winston Reid aliefunga goli la mwisho katika uwanja huo ikiwa ni kumbukumbu kubwa katika historia yake na klabu kwa ujumla.
Winston Reid (right) secured the victory with ten minutes remaining when he headed past David de GeaWest Ham bado wana nafasi ya kumaliza katika nambari tano.
Wamo alama moja nyuma ya Manchester United na watazuru Stoke Jumapili.

Anthony Martial is congratulated by Juan Mata after latching onto his cutback to restore parity for Louis van Gaal's side after the interval

Manchester United, watakuwa wenyeji wa Bournemouth, mechi ambayo watahitajika kushinda kujiimarishia uwezekano wa kumaliza katika nne bora.

West Ham supporters threw bottles and cans of beer at the United team coach ahead of the final game  
Mashabiki wa West Ham wakilishambulia gari la Manchester United kwa makopo ya vinywaji kabla ya mchezo tukio ambalo lilisababisha mchezo huo kuchelewa kuanza.
 
Hammers supporters had joined the party well before the scheduled kick-off time of 7.45pm at Upton Park Askari wakiwatawanya mashabiki wa West Ham

Mafataki yakipigwa baada ya kumalizika kwa mchezo.
Fireworks and a laser show signalled the end of an era as West Ham prepare to move to the Olympic Stadium



It was a night that had been earmarked as one where West Ham's famous ground could be celebrated


One-club man and West Ham's influential captain Mark Noble addresses the crowd during the spectacular show put on after the game .
 
West Ham fans' favourite Paulo Di Canio salutes the crowd as he makes a dapper appearance on the pitch during the lengthy ceremony  Paulo Di Canio
Club legend Sir Trevor Brooking takes in the crowd's adulation on an emotional evening for the east London club at Upton Park Sir Trevor Brooking

A band plays out on the pitch prior to kick-off with many supporters keen to enjoy a carnival atmosphere regardless of the result

West Ham will hope to move on to the next level when they move into the Olympic Stadium and embark on a brand new adventure


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox