STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 2 Juni 2016

IBRAHIMOVIC AITOSA KLABU HII AMBAYO ILIKUWA INAMUHITAJI.............

MSHAMBULIAJI nyota anayewindwa na Manchester United, Zlatan Ibrahimovic amekanusha tetesi za kurejea Marmo, akisisitiza kuwa kiwango chake sio cha kucheza katika Ligi Kuu ya Sweden.
 
 http://dm9afq7zol1mi.cloudfront.net/naija.io/media/uploads/1305/1fc3d9ad7fed84d19cc97a97fe6bb871.png
 
 Nyota huyo mwenye umri wa miaka 34 ambaye kwasasa ni mchezaji huru baada ya mkataba wake na Paris Saint-Germain kumalizika amekuwa akihusishwa na tetesi za kwenda United na China. 
 
 
Ibrahimovic aliwaambia wanahabari leo kuwa atabainisha klabu atakayokwenda pindi atakapochoka kusoma tetesi nyingi zilizozagaa.
 
 Mkongwe huyo aliwahi kuichezea Malmo ikiwa ndio klabu yake ya kwanza kuanzia mwaka 1996 mpaka 2004.
 
 
 Baadae akaenda kuzichezea klabu za Ajax Amsterdam, Juventus, Inter Milan, Barcelona na AC Milan kabla ya kujiunga na PSG mwaka 2012.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox