WINGA Shiza Kichuya
anayechezea timu ya Simba amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya
Vodacom kwa mwezi Septemba msimu wa 2016/17.
Mchezaji huyo wa zamani
wa Mtibwa Sugar ambaye amekuwa tegemeo la Wekundu hao kutokana na ubora
alionao kwa sasa aliwashinda Adam Kingwande wa Stand United na Omari
Mponda wa Ndanda FC.
Kichuya aliisadia timu
yake kwa mwezi huo kupata pointi zote 12 katika mechi nne ilizocheza,
matokeo ambayo yameifanya Simba iendelee kuongoza Ligi hiyo
inayoshirikisha timu 16. Pia alifunga mabao matatu katika mechi mbili
kati ya nne ilizocheza timu yake.
Kwa kushinda tuzo hizo
ya mwezi, Kichuya atazawadiwa kitita cha sh. 1,000,000 (milioni moja)
kutoka kwa wadhamini wa Ligi hiyo, kampuni ya Vodacom Tanzania.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 18 Oktoba 2016
KICHUYA NDIYE MCHEZAJI BORA WA MWEZI SEPTEMBER, VPL
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

a

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni