KLABU ya Manchester United imepewa ofa ya kumsajili kiungo wa Real Madrid Sami Khedira lakini kama watakubali kumlipa kitita cha paundi 200,000 kwa wiki. Kiungo huyo wa kimataifa wa Ujerumani anatarajiwa kumaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu na United wamegutushwa juu ya suala hilo. Hata hivyo, United wao wamelenga zaidi kutaka kumsajili kiungo wa AS Roma Kevin Strootman ambaye hata hivyo bado majeruhi. Kama United ikifanikiwa kumsajili Khedira mwenye umri wa miaka 28, atakuwa mchezaji wa kwanza kutoka Ujerumani kuitumikia klabu hiyo. United wanaweza kukabiliwa na upinzani kutoka kwa Chelsea kwani Jose Mourinho ambaye amewahi kumfundisha Khedira akiwa Madrid naye amekuwa akimhusudu mchezaji huyo.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumapili, 5 Aprili 2015
MAN UNITED YAPEWA OFA YA KUMSAJILI KHEDIRA.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni