MENEJA wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger anaamini kuwa taji la Ligi Kuu bado halipo ndani ya uwezo wao pamoja na kiwango bora wanachoendelea nacho hivi sasa. Ushindi wa mabao 4-1 waliopata dhidi ya Liverpool jana unaifanya timu hiyo kujiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu moja kwa moja michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya bila kucheza hatua za awali. Vinara Chelsea bado wameendelea kuondoza kwa tofauti ya alama saba juu yao, lakini Arsenal ambao wameshinda mechi 10 kati ya 11 walizocheza wana naafsi ya kupunguza pengo hilo wakati watakapoikaribisha Chelsea baadae mwezi huu. Pamoja na kiwango bora walichonacho, Wenger anaamini bado wana kazi kubwa ya kufanya kutokana na kuanza vibaya msimu. Wenger amesema kimahesabu wanaweza kushinda taji hilo lakini wanahitajika kuwa bora na wakati huohuo Chelsea kushuka kiwango jambo ambalo hadhani kama linawezekana.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumapili, 5 Aprili 2015
WENGER AKIRI TAJI LA LIGI KUU LIKO NJE YA UWEZO WAO PAMOJA NA USHINDI.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni