KIUNGO wa klabu ya Arsenal, Jack Wilshere amesema yuko tayari kurejea katika kikosi cha kwanza baada ya kucheza katika kikosi cha timu ya vijana chini ya umri wa miaka 21 baada ya kujiuguza kwa muda majeraha ya kifundo cha mguu. Nyota huyo wa kimataifa wa Uingereza mwenye umri wa miaka 23 amefanyiwa upasuaji mara mbili katika kifundo cha mguu wake wa kushoto ambao aliumia katika mchezo dhidi ya Manchester United Novemba mwaka jana. Hata hivyo kwasasa Wilshere anaonekana kuwa fiti baada ya kucheza kwa dakika zote tisini katika mchezo huo ambao pia uliwajumuisha nyota wengine kama Mikel Arteta na Abou Diaby. Wilshere amesema unaweza kufanya mazoezi mara nyingi upendavyo lakini huwezi kuwa fiti mpaka utakapopata nafasi ya kucheza. Nyota huyo aliendelea kudai kuwa kwasasa anajiona yuko fiti na yuko tayari kucheza katika kikosi cha kwanza ingawa jambo hilo litaamuliwa na kocha mwenywe
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumatano, 8 Aprili 2015
WILSHERE ADAI YUKO FITI KUREJEA KIKOSI CHA KWANZA.
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni