STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 28 Agosti 2015

BAADA YA KUTOSWA OFA YA STONES MOURINHO ABONGA........

josem_0

Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho amekiri kuwa na furaha na kikosi chake cha sasa ila kauli hiyo bado inazua maswali ni kweli hatasajili, ana furaha na kikosi chake? licha ya ofa zake zaidi ya tatu za kuomba kumsajili beki wa kati wa Everton John Stones kukataliwa.


Mourinho ambaye ana mchezo mmoja weekend hii dhidi ys Crystal Palace alijibu furaha ya ubora wa kikosi chake licha ya kumkosa John Stones hivyo anaamini ana kikosi bora.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox