STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 31 Agosti 2015

EMBU MTIZAME SHABIKI HUYU ALICHOKUWA ANAFANYA UWANJANI........



Mchezo wa soka ni mchezo ambao hupendwa na watu wengi ila kitu ambacho huvutia zaidi uwanjani ni pale kila shabiki wa timu fulani anavyo furahia kwa style yake, hii ni mpya mtu wangu kwa shabiki huyu wa soka kwani amefanya kitu ambacho kinafurahisha na kustaajabisha.

Ed Syers ambaye anafanya kazi katika kampuni ya takwimu alikuwa mmoja kati ya mashabiki wa soka walio hudhuria mechi ya Newcastle Unieted dhidi ya Arsenal katika uwanja wa St James ParkEd Syers aliingia uwanjani na kifaa cha kuchezea Games wakati mechi ikiendelea na yeye alikuwa na mzuka wa kubonyeza mashine yake yaani kama yeye ndio anachezesha mechi katika Play Station.

CNkwnDKWgAAXKcT

Richard Mason ambaye alikuwa mmoja kati ya watu waliokuwa wamekaa karibu ya Ed Syers alimpiga picha na kuiweka katika mtandao wa twitter, hivyo kufanya watu kuanza kustaajabu, Ed Syers anaonekana kuwa mpenzi wa Games za Play Station. Hata hivyo mechi ilimalizika kwa Arsenal kushinda goli 1-0.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox