STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 31 Agosti 2015

BAADA YA CHICHARITO KUUZWA, MCHEZAJI HUYU NDIE MBADALA WAKE



Klabu ya Manchester United bado ipo katika dakika za mwisho kutafuta mbadala wa mshambuliaji wa Mexico aliyekuwa kwa mkopo wa muda mrefu katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Javier Hernandez Chicharito, Man United ambayo August 30 ili muuza Javier Hernandez kwenda katika klabu ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani.

031315-5-SOCCER-Anthony-Martial-OB-PI.vresize.1200.675.high.25

 Man United walimuuza Javier Hernandez kwenda Bayer Leverkusen kwa dau la pound milioni 12 hivyo wametenga dau la pound milioni 36 ilikuishawishi klabu ya Monaco ya Ufaransa kumuachia Anthony Martial ajiunge na wababe hao wa Old Trafford.

64108

Hata hivyo taarifa hizo zinakuja ikiwa ni masaa kadhaa toka Man United ipoteze mchezo kwa goli 2-1 dhidi ya Swansea CityAnthony Martial ambaye analinganishwa kiuchezaji na Thierry Henry alikuwa akiwaniwa na vilabu vya Chelsea na Tottenham Hotspur ambayo ilitoa pound milioni 19 kwa Monaco zikakataliwa, bado Man United wanasubiri majibu ya ombi lao la kumnunua nyota huyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox