STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatatu, 31 Agosti 2015

MTOTO WA ROONEY FULU SHANGWE ALIVYOKUTANA NA NEYMAR,MESSI NA SUAREZ.......



Mtoto wa mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza na nahodha wa klabu ya Manchester United Kai Rooney alionekana mwenye furaha, katika mapumziko ya mwisho wa wiki na mama yake mzazi Coolen Rooney wakiwa Hispania kwani alipata bahati ya kukutana na wachezaji wa FC Barcelona.

CNuEGMjWIAA71TR

Kai Rooney ambaye ni mtoto wa Wayne Rooney alionyesha kuwa na furaha kupata bahati ya kukutana na Lionel Messi, Suarez, Neymar na Pique hivyo mama yake aliamua kuiweka picha aliyopiga mtoto wake na mastaa hao katika mtandao wa twitter na kumshukuru beki wa zamani wa Man United Gerard Pique.

1

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox