STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 1 Septemba 2015

MTOTO WA GWIJI WA FC BARCELONA KUKIPIGA NCHINI URENO....


Mtoto wa mchezaji wa zamani wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Brazil Rivaldinho Rivaldo ambaye anafuata nyayo za baba yake Rivaldo katika soka, amesajiliwa na klabu ya Boavista ya Ureno akitokea klabu ya Mogi Mirim ya kwao Brazil. Hivyo hiyo inakuwa mwanzo wa safari yake ya kusaka mafanikio kama aliyoyapata baba yake Ulaya.
ng887322E8-A487-4317-B9AD-945B6421D929

Rivaldinho ambaye ana umri wa miaka 20 amejiunga na klabu ya Boavista kwa mkataba wa miaka mitatu na kuhama katika klabu ambayo baba yake mzazi ni Rais, hiyo itamfanya kukua na kukomaa kisoka kwani ataanza kuishi mbali na uangalizi wa baba yake.

ng4618719

Mchezaji huyo ambaye amepata umaarufu kutokana na ukubwa wa jina la baba yake, ni kawaida kuingia katika headlines kila mara anapofunga goli, ameichezea klabu ya Mogi Mirim jumla ya mechi 44 na kufunga goli 10. Rivaldinho ili aweze kufikia rekodi za baba yake inabidi ajitume kwani hadi sasa hajawahi cheza katika timu ya taifa ya Brazil hata ya vijana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox