STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 2 Septemba 2015

DE BRUYNE AKIWA NA MPENZI WAKE BAADA YA KUREJEA UINGEREZA KUKIPIGA MANCHESTER CITY......



Kiungo mpya wa klabu ya Manchester City aliyejiunga na klabu hiyo akitokea klabu ya Wolfsburg ya Ujerumani kwa dau la pound milioni 54, Kevin De Bruyne  anaonekana kuwa na furaha na maisha ya Manchester City yeye pamoja na mpenzi wake Michele Lacroix.

Kevin-De-Bruyne-and-his-girlfriend-Michele-Lacroix
Michele Lacroix ambaye amekuwa na mahusiano na staa huyo toka mwaka 2014, alipiga picha na kuiweka katika mtandao wa kijamii wa Instagram na kuelezea furaha yake kwa mpenzi wake kurudi tena Uingereza na kuwa ni sawa na kufungua ukurasa mpya wa mapenzi yao.

Kevin-De-Bruyne-and-his-girlfriend-Michele-Lacroix (1)
Kevin-De-Bruyne-and-his-girlfriend-Michele-Lacroix (2)
1

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox