STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 3 Septemba 2015

KATI YA MESSI NA RONALDO NANI MCHEZAJI BORA? WAPIGA KURA NI WAVUTAJI WA SIGARA, ANGALIA ANAYEONGOZA MPAKA SASA


Wavuta sigara wa jiji la London wamepewa nafasi ya kuchagua mchezaji bora wa dunia kati ya Cristiano Ronaldo na Lionel Messi.


Jiji la London limefanya ubinifu kwa kushirikiana na wanamazingira na sasa watu watatupia vichungi vyao vya sigara kwenye maboksi maalum.

Maboksi hayo yako sehemu mbalimbali jirani na barabara na hali hiyo imeandaliwa ili kupunguza wingi wa vichungi vya sigara vilivyokuwa vinatupwa barabarani hovyo.


Lakini inaaminika itawasaidia wavuta sigara wakati mwingine kutomaliza sigara yote kama wataviona viboksi hivyo kwa kuvitupia ili kupiga kura ingawa haitahusisha Fifa au kuwasaidia Ronaldo au Messi kushinda kweli.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox