STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 22 Mei 2015

HUU MWAKA WA CHELSEA: MOURINHO KOCHA BORA WA LIGI KUU UINGEREZA

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amechaguliwa kuwa kocha bora wa msimu ligi kuuu nchini Uingereza akiungana na mchezaji wake Eden Hazard ambaye alichukua tuzo ya mchezaji bora wa msimu.
Mourinho ameisaidia Chelsea kutwaa taji la kwanza la ligi kuu nchini Uingereza baada ya kulikosa kwa takribani miaka mitano huku wakivunja rekodi ya kukaa kileleni kwa kukaa siku 274.
Hii ni mara ya tatu kwa Mreno huyo kutwaa taji hilo pamoja na kutajwa kama kocha bora wa msimu. Aliwahi pia kutwaa mwaka 2004-05 and 2005-06.
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho akisherehekea kushinda tuzo ya kocha bora wa ligi kuu nchini Uingereza.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox