STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 21 Mei 2015

WAKATI WARUNDI WAKIPINGA RAIS WAO KUTOGOMBEA TENA, NKURUNZINZA AJIFUA UWANJANI

 PIERRE NKURUNZIZA ukiachilia mbali ni mwanafamilia wa siasa na hivi sasa ni Raisi wa Burundi akiwa anazongwa na wananchi wake kuto kugombea tena wadhifa wa urais. Kiongozi huyu hayupo mbali na mswala ya soka kwani ni kocha wa katika daraja linalo tambulika na chama cha soka Afrika (CUF) na kugundisha timu Union Sporting ya kule Bujumbura. Pia ni mchezaji wa timu ya vetarani inayo julikana kama Helleluia FC Mwaka 2004 alifanikiwa kuanzisha shule ya soka huyo ndo NKURUZINZA.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox