STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 28 Mei 2015

SIMBA NAO WASAJILI WENGINE WAWILI


Simba imefanikiwa kumnasa beki wa kushoto wa Azam FC, Samir Hajji Nuhu na kumsainisha mkataba jijini Dar es Salaam, jana usiku.
Beki huyo amesaini mkataba wa kuichezea Simba kwa mwaka mmoja.
Beki huyo aliyewahi kuichezea Taifa Stars amesaini mkataba huo mbele ya mjumbe wa kamati ya usajili ya Simba, Collins 
Frisch.






Uongozi wa Simba umeonyesha umepania kuimarisha safu yake ya ulinzi baada ya kumnasa beki wa JKT, Mohammed Fakhi, jana usiku.
Faki amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Simba jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe amethibitisha.
“Kweli Faki amesaini miaka miwili, hii ni sehemu ya kuhakikisha tunaimarisha safu ya ulinzi,” Hans Poppe alikaririwa na Salehjembe.
Faki aliichezea JKT kwa ufanisi mkubwa katika msimu uliopita.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox