STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 5 Juni 2015

JAMES MILNER ATUA ANFIELD


                                          JAMES MILNER ATUA ANFIELD

 LIVERPOOL wametangaza kufikia makubaliano ya kumsajili James Milner kutoka  Manchester City.

Mkataba wa Milner katika klabu yake ya Man City unamalizika majira ya kiangazi mwaka huu na ameshindwa kufikia makubaliano na timu hiyo, hivyo anajiunga na Liverpool akiwa mchezaji huru na muda wowote anakwenda kupima afya.
Taarifa rasmi ya Liverpool hii hapa;
 
#LFC are delighted to announce a deal has been agreed to sign James Milner from Manchester City, subject to a medical pic.twitter.com/dQjD5BQ5xm

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox