STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 5 Juni 2015

MAKOMBE 24 MPAKA SASA KWA XAVI JE KUONGEZA LA 25?


 MAKOMBE 24 MPAKA SASA KWA XAVI JE KUONGEZA LA 25?

 
Wakati Xavi Harnandez ,35, anajiandaa na kustaafu rasmi baada ya kuitumikia Barcelona kwa miaka 17 ya maisha yake, swali je, atafanikiwa kuongeza kombe jingine hapo keshokutwa.

Barcelona inashuka dimbani mjini Berlin, Ujerumani kucheza fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Juventus ya Italia.
Utaona katika picha hiyo hapo juu, Xavi akiwa amezungukwa na makongwe 24 aliyowahi kubeba akiwa na Barcelona kwa miaka 17.
Hapo kuna makombe manane ya La Liga, matatu ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, mawili ya UEFA Super Cups, matatu ya Copa del Reys, sita ya Spanish Supercups na mawili ya Kombe la Dunia kwa klabu.


    JE! ATAWEZA KUBEBA UBINGWA WA 25 NDANI YA BARCA KABLA AJASEPA?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox